NEWBIE 254
@user1593
·
come/arrive
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma