Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati
Ati wee ni mnono mpaka ukikalia kiti inasema paxes
Ati siz yako ni mnono mpaka chali yake humshow ‘u r 2 in a million.