Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
Doggy yenu imebeat hadi iki bark lazima ijishikilie kwa ukuta.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine