chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!
Asubuhi asubuhi koo na omena
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”