Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Ati umesota mpaka mwizi akikam kuiba anaiba duster
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje