Mmesota hadi nyi hukula ugali na story za nyama
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
We ni mrefu mpaka usiku miguu zinalala kwa jirani
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu