Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute