nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Ati umesota mpaka mwizi akikam kuiba anaiba duster
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
ukona maskio kubwa Hadi ukizaliwa daktari alikushika kama trophy