We mrefu mpaka ukianza kuvaa handa by the time ifike kwa magoti ime rust
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.