Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Wewe ni mweusi mpaka ukitumia mtu Selfie inajiandika scratch to reveal.
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.