Victor Karanja
@victor_karanja
·
Alo
nasikia wewe ni mfupi mpaka wajua pahali shetani anaficha chupi
Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje