nasikia we niweusi hadi una aribia makka fashion
naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”