We ni mnono hadi ukikunywa novida huwezi get lifted!
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
nyumba yenu imetengenezwa na matope.
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers