We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi