Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
msee akona maskio kubwa hadi anashika waves za safaricom
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya