We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
naskia shosh Yako Ako na mbio Hadi kwa mlango ameekewa bams
We mrefu mpaka KQ wanakuitia job ya kupanguza dirisha za ndege
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati