Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool
naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
NASKIA WEWE NI MZEE MPAKA NUNA MEA KITUNGU KWA MAKWAPA