Ati umesota mpaka mwizi akikam kuiba anaiba duster
ATI budako ni mzee Hadi akona kaburi Kwa makende
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi