Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack