Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Asubuhi asubuhi mabuyu na cools
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.