huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Ati umekonda mpaka we hutumia elastoplast badala ya always
First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂