Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa
wewe ni mfupi hadi unabebanga fifty bob kama mabati.
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado