Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis