umenona hadi ukivaa t-shirt ya green unakaa kibanda ya mpesa
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
Asubuhi asubuhi toast mayai na jasho ya makende
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!