Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma
nyumba yenu imetengenezwa na matope.
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Paka yenyu imeona mamovie mpaka ikifuata panya inalia tereng! tereng!
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy