Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje
Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi
Asubuhi asubuhi harufu ya gumboot na BIG G
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.