We ni mnono hadi ukikunywa novida huwezi get lifted!
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya