Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen
Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle