nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Ati wewe mweusi tu sana mpaka hauna bright ideas.
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
We ni mrefu mpaka usiku miguu zinalala kwa jirani
Asubuhi asubuhi mapera na maziwa ya nguruwe