Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
ASUBUHI ASUBUHI githeri na colgate.
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu