Mmesota hadi nyi hukula ugali na story za nyama
Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.