Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Ulimeza cassette ya koffi ukanyamba ndombolo