Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
Aty weni mchoyo adi uki enda kwa jirani upate maji ya mchele wana hi badilisa ina kuwa yamtoi kuoga
UKo na macho kubwa hadi wewe huitwa eye witness
We m-ugly mpaka kipofu anavaa paperbag kukubinja