Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!