ATI budako ni mzee Hadi akona kaburi Kwa makende
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Wewe ni mrefu mpaka ukivaa trao inaisha fashion kabla ifike kwa waist
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂