Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.