eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!