Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Ati wewe mweusi tu sana mpaka hauna bright ideas.
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.