Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..
nyumba yenu imetengenezwa na matope.
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport