First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack