Desmond Mwirigi
@user2212
·
mzae
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
Budako huhepa job ku-slide na socks
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje