Origin: -
Use: 1. Mdon wa mi ma presha niaje?! = My boss is a pain in the arse 2. Kwani we ni mdon aje? = Just exactly how rich are you man?! 3. Naskia ati Mwas ni mdon wa hao ma dingo = I hear that Mwangi is the group leader of that gang
Period: Early 80's
Synonyms: Unknown
Pronounciation: (Noun) [ m-don ]
History: - From English Don suffixed with the Swahili m to denote person.
No replies yet. Start the conversation.
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka
Asubuhi asubuhi makaa na maji ya sukuma
ASUBUHI ASUBUHI githeri na colgate.