First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Ati Unakipara ukivaa polo neck unakaa roll on
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi