First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
ww n mkonde adi unavaanva socks n belt
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo