We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Umekonda mbaya mkicheza birikicho unajifichanga Kwa sindano
We ni mnono hadi ukikunywa novida huwezi get lifted!