Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.