We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..