Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Ulimeza cassette ya koffi ukanyamba ndombolo
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂