Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Balls zako bigi sana mpaka ukipiga shower unaziweka kwa rack zikauke
Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"