medosa jonii
@user2451
·
wolaan
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Balls zako bigi sana mpaka ukipiga shower unaziweka kwa rack zikauke
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda